Posts

FAIDA ZA KINGA

Image
Wengi wetu wamekuwa wakithamini sana dawa lakini kinga hawazithamini abadan. Wakati wa kuumwa pekee ndio mtu anapomtafuta daktari lakini akishapona hakumbuki tena kama kuna mtu muhimu anayeitwa daktari, hii iwe hospitalini au kwa mganga Zipo kinga za namna nyingi ila leo nitazungumzia kinga za mwili na nyumba. Kinga ndio kitu pekee kitakachokufany a usirudirudi kwa mtaalamu kufata tiba kila kukicha. Iwapo unakumbwa na matatizo ya mara kwa mara ukitibiwa leo unqkuwa sawa kabisa lakini baada ya muda tu tatizo linarudia basi ujue wewe unaishi na pamoja na ubaya, hivyo ukiwa na kinga mbaya wako hataweza tena kukuingilia na kukudhuru. Kuna nyumba kila siku wakazi wake hawalali, mara wameingiliwa na wachawi, mara ndoto za ajabu ajabu, mara watoto kulialia n.k Hayo yote yanakomeshwa na kuweka kinga katika nyumba yako. Je wezi wamekuwa adui wa mazao yako shambani? Kila ukilima wanavuna wao. Dawa pekee ya kuwadhibiti wezi ni kuweka kinga. KINGA NI BORA KULIKO TIBA 0678659525

JE SARATANI (CANCER) INATIBIKA?

Image
<fg=b00000ff> najua kila mtu atajibu hapana kwakuwa hajawahi kuona dawa yenye kutibu tatizo hilo, lakini leo nitakufundisha dawa hii ukaitumie mwenyewe halafu utaleta majibu kama Ile kauli ni kweli au hapana inayosema "kila ugonjwa unayo dawa yake isipokuwa uzee na kifo. Kwanza fahamu aina tofauti za saratani kulingana na mahali ilipokutokea. kansa ya tumbo kansa ya kizazi kansa ya kidonda kisichopona kansa ya matiti <fg=b0bf00ff> iwapo kansa imekaa tumboni unatakiwa upate mizizi ya miti mitatu. Ukishapata miti hiyo unatakiwa uitwange unga Kisha changanya unga huo na unga wa mtama. Pika uji mwingi uwe unakunywa hadi kushiba, tumia uji huo kunywa kila siku kutwa Mara tatu kwa muda wa miezi 6. <fg=b0bf00ff> Kwa kansa ya kidonda unatakiwa upate tende mrututu msigi mnuka nyama Funga dawa hizo hatua kwa hatua. Na ufunge kwa kutumia jani la mboga, pamba juu yake na bendeji ni matapa ya ng'ombe wa kiume <fg=f0f00f0f> ONYO: WAKATI WOTE WA TIBA US...

PETE ZA BAHATI 2

Image
Pete zina mambo mengi sana, ukiitazama pete hii haina kito cha rangi yoyote kama Vito tulivyovizoea Lakini hii nayo ni Pete ya bahati. Pete hii katika kichwa utaona ni madini tu ya aina sawa na pete yenyewe lakini ukweli ni kwamba ndani humo kunaingia pesa ya zamani, kunaingia tarasimu maalum kwajili ya mvuto na bahati ambayo makazi yake maalum ni kwenye pete, kitu cha tatu kuingia katika Pete hii ni dawa za miti Ama za kiarabu zote zinachanganywa pamoja na kufunikwa vizuri na madini ya fedha ama dhahabu. Kisha bwana sonara anaitengeneza vizuri Pete hiyo kwa umbo la duara, kopa, kisu 'n.k ili kuwa yenye kupendeza zaidi ivaliwapo. Wengi wetu bado hawajajua nini faida ya pete lakini kwa yoyote anayejua siri hii iliyopo katika Pete hawezi kukosa kuvaa. Hebu watazame waganga, watabiri, na viongozi wa dini. Hawakosi Pete maalum vidoleni mwao. Watazame tena watu maarufu, wasanii, maraisi, wafalme, matajiri wakubwa na mawaziri. Hawakosi pete vidoleni mwao. Inakuwaje wewe ukose kwani...

Kama unampenda mtu hataki hata kukuona, fanya njia hii

Image
Nenda katika mti wa mbaazi siku ya jamaa tano saa moja asubuhi. Ukifika piga hodi Mara tatu, mwagia mtama kidogo, mchele na bisi. Ongea na mti huo ukiuomba jambo ulilolikusudia. Kisha ng'oa mzizi mmoja wa upande linapozama jua uondoke nao. Chukua mchanga wa mguu wa kushoto wa huyo mwanamke unayempenda naww chukua mchanga wa mguu wako wa kulia. Kisha rudi sasa sehemu ya kufanya kazi yako. Tafadhali muda uwe ni saa moja jumaatano kama imeshapita basi subiri mpaka saa nane. Tandika kitambaa cheupe, weka kitu kimoja kimoja huku unakinuwia kumuita huyo umpendae katika mapenzi yako. Ukimaliza vifunge pamoja kwa kutumia uzi mweupe. Ifukize ubani mashtaka, ubani mweupe, uvumba na udi. Ukimaliza nenda kaifukie katika jiko la kuni chini. Huyo mtu atakupenda kuliko kawaida. Dr. Hamy 0678659525

Dawa ya kuvuta wateja katika biashara yako

Image
leo nakufundisha njia rahisi kabisa kuliko zote ambayo pia niya uhakika katika kuvuta wateja katika biashara yako. Kwanza kabisa upate miski halisi kabisa, chukua njiwa mweupe umchinje na damu yake uichanganye na hiyo miski. Tumia hiyo kama wino uandikie maandishi unayoyaona katika picha hii hapa chini. Chukua karatasi hiyo uifunge pamoja na mchanga wa sokoni, mchanga wa stendi, na ubani dhukra. Michanga hiyo unatakiwa uichote wakati kuna watu wengi ili kuvuta watu wengi waje katika biashara yako kama wanavyokuja stendi na sokoni. Kaa chini uanze kuisomea wasilatu shafii Mara tatu kwa saa ya zuhra. Kisha itundike katika biashara yako. Hakikisha unakuwa na wauzaji makini biasharani kwako la sivyo wataona unawatesa bure kwa kutokupumzika. Kwa dawa zingine za biashara na mambo mbalimbali ya kimaisha usisite kunipigia 0678659525

Kinga ya nyumba na shamba ili mchawi asilione

Image
Kinga ya mchawi asione nyumba yako au shamba Kuna siku nilitoa maelezo ya namna ya kutengeneza kinga ya nyumba yako pamoja na shamba lakini wengi wameshindwa wakisema ni njia ngumu, leo nataka niwape njia nyingine Vifaa: Kitoto cha panya ambacho hakijaanza kuona. Kitoto cha ndege wa aina yeyote ambacho hakijaanza kuona. Fimbo ya kipofu. Mzizi wa mbarika ulioota juu ya kaburi. Mzizi wa tulla ulioota juu ya kaburi. Kiazi cha mlangamia. ngozi ya kondoo mweusi. Mzizi wa mbaazi uliomaliza mwaka au zaidi. Namna ya kuandaa dawa Ukishapata vifaa hivyo vyote unatakiwa uanze kupika dawa yako hiyo usiku wa manane tena uhakikishe ni usiku wenye giza hakuna hata mbalamwezi inayowamulika. Tafuta mwenzako wa kupika nae dawa, chukua chungu cha ukubwa wa kutosha kupikia dawa zote hizo. Tafuta pia na kuni za kupikia. Kisha anaekarangiza pishi hilo hatakiwi kuona hivyo afungwe kitambaa cheusi machoni, huku mwingine ambaye anaona ndio atakuwa anamuelekeza na kuchochea kuni. Pia hakikisheni w...

Ndoa za watu na Majini

Image
WAJUE WANAWAKE WALIOOLEWA NA MAJINNI. WAJUE WANAUME WALIOOA MAJINNI. ZIJUE TIBA ZA KISUNA ZA KUONDOSHA TATIZO LA MAJINNI HAO. ZIJUE DUA ZA KUWAFUKUZA MAJINNI HAO. dr. Hamy 0678659525 °°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°° Tatizo hili linawakuta watu wengi sana katika jamii zetu hadi kuwapelekea kuishi kwa unyonge na huzuni baada ya kukosa na kupoteza Yale yaliyokua ni mzuri kwao. Kwamfano wapo waliokuwa na tatizo hili na likawafanya wakose hisia za makutano ya kimwili na wenza wao, ni kwakua wamesibiwa na kuolewa na Majinni au kuoa Majinni. Pia wapo ambao hawajapata bahati ya kuolewa, lakini wanatamani kuolewa. Tatizo anajikuta kaishaolewa na dume la kijinni, hivyo kumfanya asiweze kuolewa na...