Dawa ya kuvuta wateja katika biashara yako
leo nakufundisha njia rahisi kabisa kuliko zote ambayo pia niya uhakika katika kuvuta wateja katika biashara yako.
Kwanza kabisa upate miski halisi kabisa, chukua njiwa mweupe umchinje na damu yake uichanganye na hiyo miski. Tumia hiyo kama wino uandikie maandishi unayoyaona katika picha hii hapa chini.
Chukua karatasi hiyo uifunge pamoja na mchanga wa sokoni, mchanga wa stendi, na ubani dhukra. Michanga hiyo unatakiwa uichote wakati kuna watu wengi ili kuvuta watu wengi waje katika biashara yako kama wanavyokuja stendi na sokoni.
Kaa chini uanze kuisomea wasilatu shafii Mara tatu kwa saa ya zuhra. Kisha itundike katika biashara yako.
Hakikisha unakuwa na wauzaji makini biasharani kwako la sivyo wataona unawatesa bure kwa kutokupumzika. Kwa dawa zingine za biashara na mambo mbalimbali ya kimaisha usisite kunipigia 0678659525
Mbona sijayaona hayo maneno ya kuandika kwenye hiyo karatasi
ReplyDeleteNamba ndio hiyo karatasi
DeleteIkuwapi iyo picha
ReplyDeleteHuyu jamaa duu ko asiye mwislamu apa hawezi elewa k2
ReplyDeleteKwa zaidi ya miaka 13 ya ndoa sikuweza kuzaa, naendelea kuharibika hata nikipata mimba, madaktari wote hawakuweza kunisaidia, hadi dada yangu akanielekeza kwa Dr DAWN, ambaye alinisaidia nikapata ujauzito na sasa hivi kuwa na mtoto mzuri wa kike,
ReplyDeleteAnasaidia pia marafiki zangu wengi niliowaelekeza, Dr DAWN ni baraka kwa kila mtu anayewasiliana naye,
*Kama unataka kupata mimba.
*Ukitaka kuacha kuharibika kwa mimba.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako.
*Kama unataka mume/mkeo arudishwe.
*Kama unataka kurejesha mali yako iliyoibiwa au Pesa.
*Ukitaka kutibu aina yoyote ya ugonjwa,
Wasiliana naye kwa WhatsApp: +2349046229159