FUNGA NDOA KUPITIA NYOTA 2
____________________Dr. Hamy
NYOTA YA NG'OMBE NA NGE
Kutana nae siku ya jumanne saa mbili au saa nane mchana na uwe peke yako, vaa nguo za rangi ya kijani.
Mpe chakula cha mafuta mafuta na rojorojo. Usimtazame usoni, mguseguse shingo na mapaja, penda kuimbaimba au vaa haedphone. Mkutanishe na ndugu au rafiki zako. Katika tendo la ndoa inabidi liwe refu na la kurudia rudia.
NYOTA YA MAPACHA NA MSHALE
Penda sana kuzungumza kiingereza au kusoma soma na kushika gazeti unapotembea mbele yake. Kutana nae siku ya jumatano saa tisa na umpende ndugu yake wa pili.
Penda kutafuna tafuna bigG, na zungumza utani kwa wingi huku ukizungumza upesi upesi. Vaa nguo za kitoto, fupi na usikose mkanda.
NYOTA YA KAA NA MBUZI
Penda sana kununa usicheke ovyo, mpe vitu baridi kama ice cream, pipi, na vitu vya kunyonya.
Mvamie na umshike shike kitovu pia umfinyefinye vidole. Tembea nae taratibu na uzungumze nae kwa upole, penda sana mambo yake.
Vaa nguo ya bluu isiyoiva. Ishi nae nyumba ya bondeni (ila tahadhali mafuriko). Nyumba yenu iwe self contained rooms.
Kutana nae jumamosi au jumapili saa 4 au saa kumi.
_________DR. HAMY__________
_______0678659525___________
Comments
Post a Comment