Posts

TATIZO LA STROCK (KUPOOZA VIUNGO)

JE! UNAIFAHAMU STROKE? Stroke ama ugonjwa wa kupooza ni tatizo linalowasumbua watu wengi zaid duniani lakini wengi wetu hawajui chanzo cha ugonjwa huo. Chanzo kikubwa cha stroke ni kuziba, kuvuja ama kupasuka kwa mirija ya damu katika kichwa. Nini chanzo cha tatizo hili? Chanzo cha tatizo hili ni matumizi ya mafuta ya wanyama ambayo kiasili yana uwezo wa kuganda (colestral).  Mafuta haya yakishaingia mwilini yanaganda katika mishipa ya damu na kupunguza ukubwa wa mishipa hiyo, hapo utaanza kupata presha ya kupanda HBP kwa kuwa mishipa hiyo itakuwa imepungua kipenyo chake na damu italazimika kupenya kidogo licha ya kuwa inasukumwa kwa Kasi ile ile. Katika mazingira hayo inaweza kutokea kipande cha mafuta yaliyoganda kikameguka na kusafiri katika mishipa pamoja na damu. Safari hiyo inaenda kukwamia katika mishipa ya kichwa ambayo ni madogo zaidi. Kipande hicho kinaziba kabisa mshipa huo na kusababisha damu usiweze kufika katika baadhi ya viungo, hapo ndipo stroke inaponza. Iwap...

SURA NZURI KUMSOMEA MTOTO WAKO

Image
sura zote 114 za Quran zina faida katika kinga na tiba za maradhi mbalimbali na majanga ya kidunia na akhera, ila zifuatazo ni sura zinazotumika kumsomea mtoto kwa maslahi yake ya sasa na baadae Na Dr. Hamy ~surat Fatiha, hii ni sura ya ufunguzi katika kisomo chako na kitaalam inatibu kila ugonjwa. msomee mtoto mara saba ~ayat kusiy na aya nne za mwisho za surat baqara. aya hizi ni ulinzi mkubwa sana kwa familia yako ~surat ibrahim, imeelezwa kuwa mtoto atakayesomewa sura hii allah atamuepushia maradhi katika umri wake wote. ~surat bani israil, faida ya sura hii ni kwa mtoto anayechelewa kusema. chukua maji uyasomee sura hii kwa yakini halafu mpe anywe ataongea ~surat yaasin imeelezwa kuwa hii ndio moyo wa qur'an, nani utimilifu wa haja. soma sura hii kuipa uzito dua yako ~surat jaathiyah, sura hii akisomewa mtoto mchanga atapata ulinzi dhidi ya kila majanga ~surat tur mtoto atakuwa na afya nzuri ~surat balad ni kinga ya maradhi ~surat nas itamlinda mtoto dhidi ya maji...

FAIDA YA SURA HIZI TATU

Image
1. aya ya 23 ya sura hii ni tiba kwa maradhi ya macho 2. aya ya 37 ni tiba ya maradhi ya moyo 3. msomaji wa sura hii rizki yake huongezeka 4. hakuna mateso wakati wa kifo cha msomaji wa sura hii SURATUDH DHARIYAAT 1. ukichukua maji ukayasomea sura hii na kumpa mgonjwa wa maumivu ya mgongo, atapoa kwa uwezo wa mwenyezi mungu 2. kwa mama mjamzito akisomewa sura hii hujifungua kwa urahisi hata kama uzazi wake ni wa matatizo 3. kifo cha msomaji wa sura hii si cha mateso SURATUT TUR 1. kama sura hii itasomwa kwa ajili ya mtoto mchanga, mtoto huyo atakuwa na afya nzuri 2. kama mtumwa, mateka au mfungwa atasoma sura hii, au jamaa zake watasoma kwajili yake kwa idhini ya allah ataachiwa huru. amini mungu hashindwi na lolote kama una magumu yanayokushinda njoo tumuombe mungu pamoja atusaidie

NI UWEZO GANI ALIONAO MGANGA KUJUA KILA KITU?

Image
MGANGA NI NANI? Mganga ni mtu yeyote mwenye uwezo wa kutibu matatizo ya mwili na akili yanayomsibu mwanadamu mwenzake. Inawezekana ukawa na tafsiri nyingine nzuri kuliko hii yq kwangu lakini hii sio point yangu ya msingi, la msingi ni hili linalofata. JE MGANGA ANAWEZAJE KUJUA KILA AINA YA TATIZO? Uganga ni elimu kama zilivyo elimu zingine hivyo basi huwezi kujua kila kitu na hiyo ni sababu mganga anapaswa kuendelea kujifunza taaluma yake ya Uganda kilq siku ili ajue mambo mengi zaidi. Ni jambo la ajabu sana kukutana na mtu anayejua kila kitu, kuna waganga wao hawatofautiani sana na aliyewaumba kwa maana wao wanajua kila kitu. Hata hivyo hupaswi kuridhika iwapo dawa fulani huijui bali unapaswa kutafuta wataalamu wanaoijua dawa hiyo na kwenda kujifunza hata ikibidi kutoa gharama kubwa kiasi gani almuhimu uijue dawa hiyo ili usihangaike tena akitokea mgonjwa mwingine wa namna hiyo. Jambo baya na la kusikitisha ni pale mtu anapokufata mganga wewe na kukulalamikia juu ya matatizo yak...

TIBA ASILI YA U.T.I

Image
Leo nimependa niwape faida moja ya tiba ambayo itawasaidia mpaka kufa, naamini kila mmoja atapenda somo hili. Chukua ukwaju na tangawizi. Hakikisha ukwaju unaochukua ni ule wa tunda ambazo ni chachu ukila ambazo hutumika kutengeneza juisi. Pia chukua tangawizi ile mbichi kabisa ya kuweka kwenye chai. Saga tangawizi kisha weka kwenye sufuria yenye maji lita moja na nusu, weka na ukwaju humo uanze kuchemsha hadi ichemke sawasawa. Ukwaju utajivua na dawa yako itachanganyika vizuri kwenye maji. Tumia mwiko kukoroga vizuri na kisha uchuje. Tumia dawa hii kwa kunywa kutwa mara tatu kwa siku tatu, ikiisha chemsha tena nyingine utumie kwa siku tatu zingine. Jumla utakuwa umetumia dawa hiyo kwa siku sita. Inshallah wiki ijayo nitakuwa Dodoma, Mbeya na Iringa kwa ajili ya wanaohitaji tiba zangu. Nijuze mapema kama utahitaji tuonane kupitia namba hii 0678659525 Dawa hiyo hapo juu ni dawa kiboko naya uhakika kutibu tatizo la UTI (Urinary Tract Infection).

TIBA ASILI YA KUPATA UJAUZITO

Image
Habari yako mwanandoa! Iwapo umedumu katika ndoa yako kwa mwaka mzima au zaidi hali ya kuwa burudani ya ule mchezo unacheza kama kawaida basi jua wewe una tatizo unastahili tiba. NANI MWENYE TATIZO KATI YENU? Mwanaume na mwanamke wote wanawajibu wa kujiuliza kwanini hawapati mtoto. Mwanaume matatizo yake yanaweza kuwa ni Kutoa mbegu (sperm) zilizokufa Kutoa kiwango kidogo sana cha mbegu (sperm) Udhaifu wa nguvu za kufanya mapenzi na hujikuta akishindwa kushuhurika siku husika ya mimba Wakati kwa mwanamke matatizo yake ni Kukoma uzalishaji wa mayai ya uzazi (Tatizo hili halitibiki) Uzalishaji hafifu wa mayai ya uzazi (kwa kikubwa hii husababishwa na vizuia mimba) Kuziba kwa mirija ya mimba Uvimbe katika kizazi Kutokuzalishwa kwa ute mwepesi katika njia ya kizazi ya mwanamke. Ute katika njia ya kizazi una kazi ya kulainisha njia na kufanya mbegu za kiume ziweze kusafiri vizuri mpaka kufikia mayai ya kike. Mbegu hazitaki kukutana na mchubuko wowote njiani hivyo basi kunapo ko...

DAWA YA KUONDOA WEUSI KATIKA UKE WAKO

Image
KWA WANAWAKE TU ®+18 Habari za wakati huu kwa wapendwa warembo wa kila rangi. Leo nakuletea hii faida ya dawa nzuri kabisa itakayokufaa VIFAA Asali (vijiko 2) Machicha ya nazi (Vijiko 2) Sukari (Vijiko 2) Maji ya ndimu (kijiko 1) UANDAAJI Saga sukari yako au itwange katika kinu (kiuri) hadi ilainike na kuwa unga. Baada ya hapo changanya na vitu hivyo pamoja, ikoroge vizuri ichanganyike MATUMIZI Kwanza nyoa nywele zote katika sehemu za siri uwe safi kabisa. Tumia dawa hii kusugulia katika kona zote za uke wako. Juu na chini, kulia na kushoto. Dr. Hamy  06 78659525 Dawa hii ni dawa nzuri sana ya kuondoa weusi katika uke wako, kuweka ulaini na kuondoa ukavu katika uke wako. Hii ni scrub nzuri sana kwa wadada wanaopenda kwenda na wakati.